Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Tuesday, October 4, 2011

MATUKIO YA MBUNGE WA JIMBO LA MVOMERO.


Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla, akiteta na mkazi wa wami dakawa , ambaye ni mlemavu wa viungo akihutaji kusidiwa fedha za kununua mipira ya baiskeli yao.
ZIARA YA MBUNGE WA JIMBO LA MVOMERO, AMOS MAKALLA, AKIWA JIMBONI KWA AJILI YA KUTEKELEZA AHADI ALIZOTOA WAKATI WA KIPINDI CHA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU ALIPOKUWA AKIPITA KUOMBA KURA ILI ACHAGULIWE KUWA MBUNGE WAJIMBO HILO , LENGO LA ZIARA HIYO NI KUZITEMBELEA SHULE ZOTE 21 ZA SEKONDARI ZILIZOPO KATIKA WILAYA YA MVOMERO KWA AJILI YA KUTOA MASAADA WA VITABU VYA MASOMO YA SAYANSI, HISABATI NA JEOGRAFIA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA KWANZA HADI NNE PAMOJA NA VIFAA VYA MICHEZO HUSANI MIPIRA.
Mafundi wakiwa kazini kukamilisha ujenzi wa nyumba ya mwalimu sekondari ya Ungulu, Kata ya Kibati, Wilaya ya Mvomero.
Diwani wa Kata ya Mtibwa, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro kupitia CHADEMA , Tusekile Mwakyoma, akiwahutubia wananchi wa mtibwa kabla ya kumkaribisha Mbunge wa Jimbo hilo, Amos Makalla ( hayupo pichani)
Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Amos Makalla ,kutoa vitabu vya masomo ya sayansi na hisabati, Sekondari ya Lusanga

7 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...