Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 2, 2011

KASEBA ALIVYOCHUKUA UBINGWA WA PST UZITO WA KG. 72



Mbunge wa Jimbo la Kinondoni Iddy Azani akimvisha mkanda wa ubingwa unaotambuliwa na chama cha mchezo wa ngumi za kulipwa PST bondia Japhet Kaseba baada ya kumtwanga Maneno Oswald kwa Point jijini Dar es salaam jana.(picha na http://www.superdboxingcoach.blogspot.com/)



Baadhi ya mashabiki wakiangalia mpambano

Ernest Bujiku alitoka sale na Ambokile Chusa











No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...