Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 2, 2011

MABONDIA WA TANGA WANYAKUA MIKANDA YOTE YA TPBO KATIKA VIWANJA VYA TANGAMANO





Bondia Saidi Mundi wa Tanga akinoshwa mkono juu baada ya kumtwanga Mohamedi Bakari wakati wa
mchezo wa kugombania mkanda wa ubingwa wa taifa wa chama cha ngumi za kulipwa TPBO viwanja
vya tangamano TANGA.(http://www.superdboxingcoach,blogspot.com/)













furaha ya ubingwa





ngumi sio uadui hapa mabondia wakisalimiana





Alani kamote wa tanga akitupa makonde





mashabiki kibaoooo







Nakwambia umuwezi bondia yoyote wa tanga karibu tena ndio anavyosema mmoja wa wadau wa ngumi baada ya bondia wake kushinda



Bondia Haji Juma wa Tanga kushoto akipambana na Juma Sel;emani wa Dar wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa KG.48 uliofanyika katika viwanja vya tangamano jijini tanga















No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...