Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, October 2, 2011

WIKI YA NENDA KWA USALAMA


Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha Kampuni ya simu za Mkononi ya Airtel Tanzania, Beatrice Singano Mallya (kulia) Meneja Masoko wa Kampuni ya Mafuta ya Engen, Shaban Kayungilo na katikati ni Kamanda wa Kikosi cha Polisi Usalama Barabarani, Kamishana Mohamed Mpinga wakionesha stika zitakazo saidia katika wiki ya nenda kwa usalama
Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani akikabidhiwa stika na Mkuu wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya
Kamishna Mohamed Mpinga na Beatrice Singano Mallya

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...