Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, April 3, 2011

kongamalo la katika mpya chuo kikuu




Mwenyekiti wa Kongamano la Pili la Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr. Kitila Mkumbo (katikati) akiwa kwenye meza kuu wa watoa Mada katika Kongamano hilo ambao ni Jaji Mkuu Mstaafu,Barnabas Samata (kushoto) pamoja na Ndg. F. Kiwinga.Mada kuu ya leo ilikuwa ni Kujadili hukusu Maudhui na Misingi ya Katiba Mpya.Kongamano hili limemalizika mchana huu katika ukumbi wa Nkuruma ndani ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Dr. Sengondo Mvungi wa NCCR-Mageuzi nae alizungumza katika Kongamano hilo lililokuwa likijadili mada ya Maudhui na Misingi ya Katiba Mpya katika nchi yetu hii.
Naibu Katibu Mkuu wa CUF-Tanzania Bara,Julius Mtatiro akizungumza katika Kongamano hilo la Katiba Mpya lililomalizika mchana huu katika ukumbi wa Nkuruma,Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Mwasisi wa Mageuzi Nchini na Mwanachama wa CHADEMA,Mabere Marando akizzungumza katika Kongamano hilo.
Kiongozi wa Chama cha UDP,John Cheyo akizungumza katika Kongamano hilo.
Mmoja wa Wadau wa Kongamano Hilo akichangia Mada zilizokuwa zikitolewa katika Kongamano hilo mchana huu.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...