Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 29, 2012

KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR LEO


Baadhi ya maofisa mbalimbali na wananchi wakiwa katika Baraza la Wawakilishi wakisikiliza Hotuba na Michango mbalimbali inayotolewa na Wajumbe wa Baraza hilo.
 
Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu mwenye kitabu akibadilishana mawazo na mwananchi ambae alienda kumuona huko katika Baraza la Wawakilishi nje ya mji wa Zanzibar.
 
PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...