Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Friday, June 29, 2012

ZANZIBAR FILM FESTIVAL July 5


 Mwaka huu mastaa kibao watashuka Bongo. Kutoka Marekani anakuja Mario
Van Peebles. Kama umeangalia filamu ya All Things Fall Apart ya 50
Cent utakuwa umewahi kumuona huyu jamaa, mle ndani aliigiza kama baba
wa 50 Cent.

Cabo Snoop naye atadondoka kutoka Angola, yote ni kuzifanya siku tisa

za tamasha zisimchoshe mtu yoyote, bila kwuasahau mastaa wetu Bongo
kama Diamond, Linah, Barnaba, Roma na Sultan King.

Bongo Movies wao ndio wataongoza jahazi la filamu, JB, Davina, Irene

Uwoya, Jackline Wolper, Cloud na wengine wengi wataheadline katika
tamasha.
 
JB akizungumza katika mkutano na wanahabari, pembeni ni Davina

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...