Marquee

Pata habari za Jamii,Biashara,Burudani na michezo!!

tangazo

Sunday, June 24, 2012

MABABA WA CHEKA NA KASEBA WATAMBIANA


Baba Mzazi wa bondia Fransic Cheka , Bonifasi Cheka kulia akiwa amemkunja baba mzazi wa Japhert Kaseba, Josepher Kaseba wakati wa kuzungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuzungumzia mpambanbo wa watoto wao utakaofanyika siku ya sabasaba katika uwanja mpya wa Taifa. Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baba Mzazi wa bondia Fransic Cheka , Bonifasi Cheka kushoto akizungumzxa na waandishi wa habari Dar es salaam lkeo kuusu mpambano wa mwanae utakaofanyika siku ya sabasaba kulia ni
Baba wa bondia Japhert Kaseba, Josepher Kaseba wa pili kushoto ni meneja matukio wa Dar Live na Promota wa Mpambano huo Kaike Silaju.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Baba wa bondia Japhert Kaseba, Josepher Kaseba kushoto akipeana mkono na Baba Mzazi wa bondia Fransic Cheka , Bonifasi Cheka wakati walipokuwa wakizungumza na waandishi wa Habari Dar es salaam leo kwa ajili ya kutangaza mpambano wa watoto waoi utakaofanyika siku ya Saba saba.Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...